SOMO LA SABA
1- SIKILIZA NA JAZA MAWINGU
2- SIKILIZA NA JAZA MAWINGU
3 SOMA (puoi inviarmi la registrazione per un controllo)

4 SOMA (puoi inviarmi la registrazione per un controllo)

Y - Hujambo, Nd. Hamisi.
H - Sijambo, Nd. Yahya.
Y - Habari za siku nyingi?
H - Nzuri sana.
Y - Habari za nyumbani?
H - Salama tu.
Y - Hebu, Nd. Hamisi, huyu ni Nd. Bukari na huyu ni rafiki yangu, Nd. Hamisi.
H - Habari gani, Nd. Bukari?

B - Njema.
H - Nimefurahi
kukuona.
B - Na mimi pia, nimefurahi kukuona.
H - Nyumbani hawajambo?
B - Hawajambo.
H - Unafanya kazi gani?
B - Ninafanya kazi ya ukarani
H - Wapi?
B - Katika Idara ya
Elimu.
H - Aisi.
B - Je, unakaa hapa
karibu?
H - Ndiyo. Mimi
mwalimu. Ninafundisha katika shule ya hapa hapa. Na wewe, je? Unakaa wapi?
B - Mimi ninakaa
katikati ya jiji la Dar es Salaam.
H - Aisi.
MANENO MAPYA
aisi = vedo! capisco! (esclamazione inglese; "Ah, sí!")
-chukua (ku) = prendere (su)
hawa = questi/e
-jifunza (ku) = imparare
katibu (ma) = segretario
mfanyakazi (wa) = lavoratore
mkunga (wa) = ostetrica
mpita njia (wapita njia) = passante
msichana (wa) = ragazza
mvulana (wa) = ragazzo
ndimi = eccomi, sono io
pamoja nao = assieme a loro
sayansi (-) = scienza
si = non é
sivyo = non é cosí
somo (ma) = lettura, lezione
tu = soltanto, semplicemente (avv.)
ukarani = lavoro da impiegato
useremala = falegnameria
yupo = si trova, c'é
wao = essi/e
MAELEZO
7.1 PRONOMI PERSONALI.
yeye= esso/esse e wao = essi/esse sono altri pronomi personali.
Ecco il paradigma completo:
mimi |
io |
sisi |
noi |
wewe |
tu |
ninyi (anche nyinyi) |
voi |
yeye |
egli, ella |
wao |
essi, esse |
7.2 PREFISSI PRONOMINALI SOGGETTO
wa- = essi/esse é il prefisso pronominale della terza 'persona plurale' riferito
alla classe 2 (WA, "individui autonomi"):
(Mwanafunzi) Anajifunza useremala
(Wasichana hawa) Wanafanya kazi gani?
tu- (Noi) é il prefisso pronominale soggetto della prima persona
plurale.
m- (Voi) é il prefisso pronominale soggetto della seconda persona
plurale.
7.3 PRESENTE INDICATIVO
Paradigma del presente indicativo:
Ninafanya |
(Io) Faccio |
Unafanya |
(Tu) Fai |
Anafanya |
(Egli/Ella) Fa |
Tunafanya |
(Noi) Facciamo |
Mnafanya |
(Voi) Fate |
Wanafanya |
(Essi/Esse) Fanno |
7.4 IL VERBO "ESSERE"
si é la forma negativa della copula (il presente indicativo del
verbo "essere") per tutte le voci verbali:
Huyu si rafiki yangu Questo non é mio amico.
Mimi si mtumishi Non sono cameriere.
Juma na Hamisi si wanafunzi Juma e Hamisi non sono studenti.
7.5 DIMOSTRATIVI
Nelle frasi:
Mvulana huyu anafanya kazi gani? Questo ragazzo che lavoro fa?
Huyu ni rafiki yangu Questa é una mia amica.
Wasichana hawa wanafanya kazi gani? Che lavoro fanno queste ragazze?
Huyu e hawa sono dimostrativi e sono composti dai prefissi
pronominali relativi al nome che determinano e da una h seguita dalla stessa
vocale del prefisso pronominale.
h + yu = huyu
h + wa = hawa
dove yu é il prefisso pronominale della classe M (1) e wa
é quello della
classe WA (2).
7.6 LA CLASSE N (9/10)
Le seguenti parole sono invariabili al "plurale"
(elencate cosí come sono generalmente riportate nei vocabolari, il trattino tra
parentesi indica l'invariabilitá):
dada (-) = sorella
makanika (-) = meccanico
mama (-) = madre, mamma
ndugu (-) = fratello,
sorella, compagno (pol.)
opereta (-) =
centralinista
rafiki (-) = amico, amica
anwani (-) = indirizzo
asubuhi (-) = mattino
habari (-) = notizie
hospitali (-) = ospedale
kazi (-) = lavoro
namba (-) = numero
picha (-) = fotografia,
illustrazione
rangi (-) = colore
sayansi (-) = scienza
siku (-) = giorno
simu (-) = telefono
In realtá queste parole appartengono a due classi i cui prefissi
sono praticamente scomparsi. Al singolare appartengono alla classe 9 la cui
funzione era, originariamente, di individuare oggetti o esseri tramite una
delle loro caratteristiche e che attualmente comprende la maggior parte delle parole di origine straniera. Il classificatore di questa
classe era, presumibilmente, NE.
I plurali di queste parole appartengono alla classe 10 il cui
classificatore era, presumibilmente, DI.
I classificatori di queste classi riappaiono per gli accordi.
Il prefisso pronominale (da usare con i possessivi e i
dimostrativi) per la classe 9 ('N singolare') é i (y davanti a vocale), mentre
per la classe 10 ('N plurale') é zi (z davanti a vocale):
kazi hii Questo lavoro
kazi hizi Questi lavori
siku hii Questo giorno
siku hizi Questi giorni
MAZOEZI MENGINE
- TUMIA KAMUSI: WANAFANYA KAZI GANI?
Nd. Baraka Said,
Nd. Hamisi Hassan na Nd. Salim Birika wanaishi Dar es Salaam. Pamoja nao yupo
rafiki yao kutoka Mombasa, jina lake Juma Chang'a.
Angalia picha na andika jina na kazi ya kila mtu:
a. Mtumishi yupo mbele ya dereva.
b. Mpishi yupo
karibu na mti.
c. Karani anaishi Mombasa.
d. Mpishi yupo mbele ya karani.
e. Nd. Baraka Said
yupo upande wa kulia wa mpishi.
f. Nd. Salim
Bikira yupo upande wa kulia wa karani.
g. Dereva yupo
upande wa kushoto wa karani.
|
|
SIKILIZA NA ONYESHA KAZI ZILIZOTAJWA (N=ndiyo, H=hapana):
ANDIKA MASWALI YAFAAYO:
(Poiché sono possibile anche altre domande puoi inviare il tuo esercizio a nino@vessella.it)